Re: A Somali woman v an escalator lol
Posted: Thu Jun 23, 2011 9:04 am
Largest online Somali community!
http://www.somalinet.com/forums/
poa mzee na asante kwa kunikaribisha. next time ukienda maua niambie nikutayarishie giza kilobaaitee. pole kaka for the de late reply. mi ni part timer hapa. jina meru na bendera ya nyumbabi ili caught ma eye![]()
![]()
jenga kenya mzee. Inavyo endelea sasa hivi, ina kaa kama walendo wata tafuna each other mpaka mwisho wa dunya as long your kangeta supply iposimamisha hiyo cargo watu wakuwe sober na vita itaisha haraka
![]()
![]()
I say karibuni ma walalo wata own meru na maua na chaga ama ilikuwa ni chege? lol musiipo chunga.
Karibu mzee kunywa chai nyumbani na usi mind ukitukanua hapa. it's part and parcel of the culture ya hii msitu. kukaribisha mgeni na matukano before ku settle![]()
kila la kheri mzeee till next time.