Page 1 of 1

Mbona?

Posted: Wed Feb 22, 2012 4:42 am
by fatimazahra
Mbona section yetu iko down tu sana?. wapi wakenya wenzangu amkeni :D !.

Re: Mbona?

Posted: Wed Feb 22, 2012 4:46 am
by Happy Desperado
Umenikumbusha hiyo wimbo, "mbona umeniwacha? umeniwachia watoto, mpaka wanalia huko nyumbani njoki..."